Swali: Ni ipi hukumu mtu akikata nia yake katikati ya swalah?
Jibu: Mswaliji akikata nia katikati ya swalah basi swalah yake inabatilika. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kwa kile alichonuia.”
Huyu amenuia kuikata na hivyo inakatika.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/450
- Imechapishwa: 05/08/2017
Swali: Ni ipi hukumu mtu akikata nia yake katikati ya swalah?
Jibu: Mswaliji akikata nia katikati ya swalah basi swalah yake inabatilika. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika kila kitendo kinategemea nia na kila mmoja atalipwa kwa kile alichonuia.”
Huyu amenuia kuikata na hivyo inakatika.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/450
Imechapishwa: 05/08/2017
https://firqatunnajia.com/mswaliji-anakata-nia-katikati-ya-swalah/