Swali: Ni ipi hukumu mtu akikata nia katikati ya swalah?
Jibu: Akikata nia wakati yuko anaswali, basi inaharibika. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika si vyenginevyo kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivyonuia.”[1]
Huyu amenuia kukata, hivyo swalah yake inaharibika.
[1] al-Bukhaariy (1) na Muslim (1907).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/449)
- Imechapishwa: 24/04/2026
Swali: Ni ipi hukumu mtu akikata nia katikati ya swalah?
Jibu: Akikata nia wakati yuko anaswali, basi inaharibika. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika si vyenginevyo kila kitendo kinalipwa kutegemea na nia na kila mmoja atalipwa kutokana na vile alivyonuia.”[1]
Huyu amenuia kukata, hivyo swalah yake inaharibika.
[1] al-Bukhaariy (1) na Muslim (1907).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/449)
Imechapishwa: 24/04/2026
https://firqatunnajia.com/mswaliji-amekata-nia-ya-swalah-yake/