Swali: Akiwa na shaka juu ya jeneza kama ni la mtu Sunniy, Raafidhwiy au mwengine. Je, aweke sharti?
Jibu: Muda wa kuwa ni miongoni mwa waislamu, basi ataswaliwa na himdi zote njema anastahiki Allaah – isipokuwa ikiwa atajua wazi kwamba mtu huyo ni miongoni mwa wasiofaa kuswaliwa au ikiwa atajua kuwa ni kafiri.
Swali: Lakini Ibn-ul-Qayyim amenukuu jambo hilo kutoka kwa Shaykh-ul-Islaam?
Jibu: Kuweka sharti ni jambo hakuna dalili juu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27526/هل-يجوز-الاشتراط-لمن-شك-في-اعتقاد-الميت
- Imechapishwa: 11/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)