Imaam at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Kila lililokuja juu ya hayo kutoka katika Hadiyth ambayo ni Swahiyh iliyosimuliwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) basi tunaipokea kama alivosema na maana yake ni kama alivokusudia mwenyewe.”
Kila Hadiyth iliyokuja inafasiriwa kama alivotaka Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Imaam ash-Shaafi´iy amesema:
“Nimemwamini Allaah na yaliyokuja kutoka Kwake kama alivokusudia. Nimemwamini Mtume wa Allaah na yaliyokuja kutoka kwake kama alivokusudia Mtume wa Allaah.”
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/265)
- Imechapishwa: 23/05/2020
Imaam at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Kila lililokuja juu ya hayo kutoka katika Hadiyth ambayo ni Swahiyh iliyosimuliwa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) basi tunaipokea kama alivosema na maana yake ni kama alivokusudia mwenyewe.”
Kila Hadiyth iliyokuja inafasiriwa kama alivotaka Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Imaam ash-Shaafi´iy amesema:
“Nimemwamini Allaah na yaliyokuja kutoka Kwake kama alivokusudia. Nimemwamini Mtume wa Allaah na yaliyokuja kutoka kwake kama alivokusudia Mtume wa Allaah.”
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hidaayah ar-Rabbaaniyyah fiy Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah (01/265)
Imechapishwa: 23/05/2020
https://firqatunnajia.com/msimamo-wetu-ju-ya-hadiyth-swahiyh/