Wanasema – wafuasi wa Abul-Hasan Ma´ribiy – mwenye madhehebu haya ni al-Albaaniy. Waongo. al-Albaaniy emejitenga mbali [na madhehebu haya]. al-Albaaniy yuko pamoja na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Amepambana kwa ajili ya kuinusuru Manhaj hii. Ameandika vitabu maalum ili kuinusuru Manhaj hii.
al-Albaaniy ni katika Ahl-us-Sunnah juu ya imani ya kwamba mapokezi yaliyopokelewa kwa njia moja yaliyothibiti [Akhbaar-ul-Aahaad] yanafidisha elimu yenye yakini na anaonelea kuwa ni mpotevu mwenye kuonelea kinyume na hivi. Anawasifu kuwa ni Mu´tazilah, Khawaarij na kadhalika. Vipi basi mtu atasema kuwa anakubaliana na Abul-Hasan katika suala hili?
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26895
- Imechapishwa: 20/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket