Swali: Unatunasihi nini khaswa leo ambapo wanachuoni wamekuwa wachache na wamejitokeza wajinga wenye kwenda kinyume na mfumo wa Salaf-us-Swaalih?
Jibu: Ni juu yako kwenda kwa wanachuoni kuwasikiliza na utafute elimu kwenye mikono yao hata kama watakuwa wachache. Wachache hao kuna baraka ndani yao – Allaah akitaka.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)