Swali: Unatunasihi nini khaswa leo ambapo wanachuoni wamekuwa wachache na wamejitokeza wajinga wenye kwenda kinyume na mfumo wa Salaf-us-Swaalih?
Jibu: Ni juu yako kwenda kwa wanachuoni kuwasikiliza na utafute elimu kwenye mikono yao hata kama watakuwa wachache. Wachache hao kuna baraka ndani yao – Allaah akitaka.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
Swali: Unatunasihi nini khaswa leo ambapo wanachuoni wamekuwa wachache na wamejitokeza wajinga wenye kwenda kinyume na mfumo wa Salaf-us-Swaalih?
Jibu: Ni juu yako kwenda kwa wanachuoni kuwasikiliza na utafute elimu kwenye mikono yao hata kama watakuwa wachache. Wachache hao kuna baraka ndani yao – Allaah akitaka.
Tarjama: Firqatunnajia.com
https://firqatunnajia.com/msimamo-mahali-ambapo-kumejaa-wajinga/