Swali: Mimi nina ndugu wanaomtukana Allaah (Ta´ala) na mimi ninatangamana nao kama makafiri kwa njia ya kwamba siwatolei Salaam, lakini hata hivyo ninawanasihi kutubu na kuingia upya katika Uislamu. Je, kitendo changu ni sahihi?
Jibu: Ndio, kitendo chako hichi ni wajibu. Ni wajibu kuwalingania katika dini ya Allaah na kuwanasihi huenda wakatubu kwa Allaah. Wewe umetekeleza dhimma na uwajibu wako pale unapowalingania na kuwanasihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13990
- Imechapishwa: 28/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)