Swali: Kwenye maktbah nyingi za misikiti kuna kitabu “Fiy Dhwilaal-il-Qur-aan”. Wakati ninapomnsihi imamu wa msikiti anasema kuwa kitabu ni tafsiyr ya Qur-aan na ni kizuri. Una nasihi nini?
Jibu: Umefanya wajibu wako. Hili limebaki kwenye dhimma ya imamu wa msikiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: at-Tahdhiyr min Du´aat-is-Suu’
- Imechapishwa: 05/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)