Swali: Kuna mwanamke amechumbiwa mwanamume ambaye anavuta sigara na yeye ameridhia na wakati huohuo walezi wake si wenye kumridhia. Je, wamuozeshe au hapana?
Jibu: Walezi wake wanatakiwa kumzuia kuolewa na huyo aliyetajwa. Hili litawagharimu kwa sababu ni maasi ambayo wanaweza kufedheheka kwayo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aaalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=9008
- Imechapishwa: 29/04/2018
Swali: Kuna mwanamke amechumbiwa mwanamume ambaye anavuta sigara na yeye ameridhia na wakati huohuo walezi wake si wenye kumridhia. Je, wamuozeshe au hapana?
Jibu: Walezi wake wanatakiwa kumzuia kuolewa na huyo aliyetajwa. Hili litawagharimu kwa sababu ni maasi ambayo wanaweza kufedheheka kwayo.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aaalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=9008
Imechapishwa: 29/04/2018
https://firqatunnajia.com/msichana-ameridhia-kuolewa-na-mvuta-sigara-ila-wazazi-hawataki/