Swali: Tunaona kuwa watu wengi hawamsalimii mtu isipokuwa yule wanayemjua. Ni ipi nasaha yako?
Jibu: Huku ni kwenda kinyume na Sunnah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msalimie unayemjua na usiyemjua.”
Wasalimie Waislamu wote hata kama huwajui kwa kuwa ni Muislamu. Miongoni mwa haki za Muislamu juu ya Muislamu mwenzake ni kumsalimia pindi unapokutana naye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Tunaona kuwa watu wengi hawamsalimii mtu isipokuwa yule wanayemjua. Ni ipi nasaha yako?
Jibu: Huku ni kwenda kinyume na Sunnah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msalimie unayemjua na usiyemjua.”
Wasalimie Waislamu wote hata kama huwajui kwa kuwa ni Muislamu. Miongoni mwa haki za Muislamu juu ya Muislamu mwenzake ni kumsalimia pindi unapokutana naye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-7-20.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/msalimie-unayemjua-na-usiyemjua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)