Swali: Je, inajuzu kuchukua msahafu kutoka msikitini ulioandikwa juu yake “Waqf kwa ajili ya Allaah (Ta´ala)” ili kusomea nyumbani?
Jibu: Msahafu kama huo hauchukuliwi. Vitu vilivyowekwa waqf kwa ajili ya msikiti” vinabaki kwa ajili ya msikiti. Misahafu ya msikiti ibaki ndani ya msikiti. Aisome humohumo msikitini na asiitoe kutoka msikitini.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31390/ما-حكم-اخذ-مصحف-المسجد-للتلاوة-في-البيت
- Imechapishwa: 24/10/2025
Swali: Je, inajuzu kuchukua msahafu kutoka msikitini ulioandikwa juu yake “Waqf kwa ajili ya Allaah (Ta´ala)” ili kusomea nyumbani?
Jibu: Msahafu kama huo hauchukuliwi. Vitu vilivyowekwa waqf kwa ajili ya msikiti” vinabaki kwa ajili ya msikiti. Misahafu ya msikiti ibaki ndani ya msikiti. Aisome humohumo msikitini na asiitoe kutoka msikitini.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31390/ما-حكم-اخذ-مصحف-المسجد-للتلاوة-في-البيت
Imechapishwa: 24/10/2025
https://firqatunnajia.com/msahafu-wa-waqf-hautolewi-nje-ya-msikiti/