Swali: Ni nini makusudio ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote mwenye kuacha ijumaa mara tatu kwa uzembe, basi Allaah atampiga muhuri juu ya moyo wake”?
Je, anayechelewa mpaka imamu anamaliza Khutbah anaingia katika matishio haya?
Jibu: Onyo hili ni kwa yule ambaye amekosa swalah ya ijumaa mara tatu bila udhuru wowote. Atapigwa muhuri juu ya moyo wake. Ni onyo kali sana. Katika Hadiyth nyingine Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Watu wakome kuacha ijumaa. Vinginevyo Allaah atapiga muhuri juu ya mioyo yao, kisha watakuwa miongoni mwa wenye kughafilika.”
Ameipokea Muslim katika ”as-Swahiyh” yake.
Imekuja pia katika Hadiyth:
“Mwenye kuacha ijumaa tatu bila udhuru, atapigwa muhuri juu ya moyo wake.”
Haya ni matishio makali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31391/ما-معنى-الوعيد-في-ترك-الجمعة-ثلاث-مرات-تهاونا
- Imechapishwa: 24/10/2025
Swali: Ni nini makusudio ya maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote mwenye kuacha ijumaa mara tatu kwa uzembe, basi Allaah atampiga muhuri juu ya moyo wake”?
Je, anayechelewa mpaka imamu anamaliza Khutbah anaingia katika matishio haya?
Jibu: Onyo hili ni kwa yule ambaye amekosa swalah ya ijumaa mara tatu bila udhuru wowote. Atapigwa muhuri juu ya moyo wake. Ni onyo kali sana. Katika Hadiyth nyingine Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Watu wakome kuacha ijumaa. Vinginevyo Allaah atapiga muhuri juu ya mioyo yao, kisha watakuwa miongoni mwa wenye kughafilika.”
Ameipokea Muslim katika ”as-Swahiyh” yake.
Imekuja pia katika Hadiyth:
“Mwenye kuacha ijumaa tatu bila udhuru, atapigwa muhuri juu ya moyo wake.”
Haya ni matishio makali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31391/ما-معنى-الوعيد-في-ترك-الجمعة-ثلاث-مرات-تهاونا
Imechapishwa: 24/10/2025
https://firqatunnajia.com/matishio-makali-kwa-anayeacha-swalah-ya-ijumaa-kusudi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
