Swali: Msafiri ameswali Maghrib kwa wakati wake, kisha baada ya nusu saa kabla ya kuingia wakati wa ´Ishaa akasimama na kuswali swalah ya ´Ishaa kwa kufupisha. Ni ipi hukumu ya kitendo chake hichi?
Jibu: Hili ni kosa. Huku inakuwa sio kujumuisha tena. Kujumuisha ni lazima swalah mbili ziwe zimekamatana na baina yake iwe muda mfupi kama wa kiasi cha kutia Wudhuu´ na mfano wa hayo. Ama kukishapita muda mrefu kujumuisha kunabatilika. Kujumuisha kunashurutisha kufuatanisha. Aicheleweshe mpaka itapoingia wakati wake na aiswali ´Ishaa kwa wakati wake kwa kuwa kujumuisha kumempita.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Msafiri ameswali Maghrib kwa wakati wake, kisha baada ya nusu saa kabla ya kuingia wakati wa ´Ishaa akasimama na kuswali swalah ya ´Ishaa kwa kufupisha. Ni ipi hukumu ya kitendo chake hichi?
Jibu: Hili ni kosa. Huku inakuwa sio kujumuisha tena. Kujumuisha ni lazima swalah mbili ziwe zimekamatana na baina yake iwe muda mfupi kama wa kiasi cha kutia Wudhuu´ na mfano wa hayo. Ama kukishapita muda mrefu kujumuisha kunabatilika. Kujumuisha kunashurutisha kufuatanisha. Aicheleweshe mpaka itapoingia wakati wake na aiswali ´Ishaa kwa wakati wake kwa kuwa kujumuisha kumempita.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (62) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13740
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/msafiri-kuswali-ishaa-kabla-ya-wakati-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)