Swali: Ikiwa mtu anataka kurudi katika mji wake na anajua atafika wakati wa swalah ya ´Ishaa – je, akusanye Maghrib na ´Ishaa au aswali Maghrib peke yake?
Jibu: Inaruhusiwa kukusanya njiani, kwa sababu huenda atakapofika atakuwa na mashughuli au anahitaji kupumzika. Hivyo inajuzu akusanya njiani, hata kama anatarajia kufika wakati wa ´Ishaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28897/حكم-الجمع-لمسافر-يصل-في-وقت-الثانية
- Imechapishwa: 07/05/2025
Swali: Ikiwa mtu anataka kurudi katika mji wake na anajua atafika wakati wa swalah ya ´Ishaa – je, akusanye Maghrib na ´Ishaa au aswali Maghrib peke yake?
Jibu: Inaruhusiwa kukusanya njiani, kwa sababu huenda atakapofika atakuwa na mashughuli au anahitaji kupumzika. Hivyo inajuzu akusanya njiani, hata kama anatarajia kufika wakati wa ´Ishaa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28897/حكم-الجمع-لمسافر-يصل-في-وقت-الثانية
Imechapishwa: 07/05/2025
https://firqatunnajia.com/msafiri-kukusanya-swalah-ingawa-anajua-atafika-wakati-wa-swalah-ya-pili/