Swali: Ikiwa mtu anataka kurudi katika mji wake na anajua atafika wakati wa swalah ya ´Ishaa – je, akusanye Maghrib na ´Ishaa au aswali Maghrib peke yake?
Jibu: Inaruhusiwa kukusanya njiani, kwa sababu huenda atakapofika atakuwa na mashughuli au anahitaji kupumzika. Hivyo inajuzu akusanya njiani, hata kama anatarajia kufika wakati wa ´Ishaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28897/حكم-الجمع-لمسافر-يصل-في-وقت-الثانية
- Imechapishwa: 07/05/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket