Msafiri kujamii mchana wa Ramadhaan kabla ya kuanza safari

Swali: Je, inafaa kwa mwanaume anayetaka kusafiri mchana wa Ramadhaan kumjamii mke wake kabla ya kuanza safari?

Jibu: Haifai kwake kufanya hivo. Haifai kwake kumjamii ilihali amefunga na mwanamke pia amefunga. Haifai kwake kufungua mpaka auache mji wake.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23857/هل-يجوز-الوطء-لو-اراد-السفر-نهار-رمضان
  • Imechapishwa: 20/05/2024