Swali: Je, msafiri anapata dhambi akiswali kwa kukamilisha Rak´ah zote akiwa safarini au akifunga akiwa safarini bila kupata mashaka?
Jibu: Hapana, hana dhambi. Ana khiyari. Lakini kuacha kufunga ndio bora zaidi, na kuswali kwa kufupisha ndio bora zaidi.
Swali: Je, kuswali kwa kufupisha si jambo la lazima?
Jibu: Si la lazima, hapana. Lakini ni Sunnah. Hivyo akiswali kwa kukamilisha swalah yake, swalah yake ni sahihi, kama vile ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) alivyokamilisha akiwa na Maswahabah katika hijjah nyingi na kama alivyokamilisha ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31499/هل-ياثم-المسافر-اذا-اتم-او-صام-في-السفر
- Imechapishwa: 25/10/2025
Swali: Je, msafiri anapata dhambi akiswali kwa kukamilisha Rak´ah zote akiwa safarini au akifunga akiwa safarini bila kupata mashaka?
Jibu: Hapana, hana dhambi. Ana khiyari. Lakini kuacha kufunga ndio bora zaidi, na kuswali kwa kufupisha ndio bora zaidi.
Swali: Je, kuswali kwa kufupisha si jambo la lazima?
Jibu: Si la lazima, hapana. Lakini ni Sunnah. Hivyo akiswali kwa kukamilisha swalah yake, swalah yake ni sahihi, kama vile ´Uthmaan (Radhiya Allaahu ´anh) alivyokamilisha akiwa na Maswahabah katika hijjah nyingi na kama alivyokamilisha ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31499/هل-ياثم-المسافر-اذا-اتم-او-صام-في-السفر
Imechapishwa: 25/10/2025
https://firqatunnajia.com/msafiri-anayo-khiyari/