Swali: Je, ikiwa amekaa zaidi ya siku nne afupishe hizo siku nne kisha aswali kwa kukamilisha?
Jibu: Hapana, asifupishe kabisa. Muda wa kuwa amenuia kukaa zaidi ya siku nne, basi atakamilisha swalah tangu siku ya kwanza aliyowasili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25149/هل-يقصر-الصلاة-من-نوى-الاقامة-اكثر-من-اربعة-ايام
- Imechapishwa: 14/02/2025
Swali: Je, ikiwa amekaa zaidi ya siku nne afupishe hizo siku nne kisha aswali kwa kukamilisha?
Jibu: Hapana, asifupishe kabisa. Muda wa kuwa amenuia kukaa zaidi ya siku nne, basi atakamilisha swalah tangu siku ya kwanza aliyowasili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25149/هل-يقصر-الصلاة-من-نوى-الاقامة-اكثر-من-اربعة-ايام
Imechapishwa: 14/02/2025
https://firqatunnajia.com/msafiri-anayetakiwa-kuswali-kikamilifu-tangu-siku-ya-kwanza/