188- Nilisoma mbele ya baba yangu:
“Mwanamme yuko na maji kwenye bendeji, akasahau, akafanya Tayammum na kuswali. Halafu baadaye akakumbuka kuwa yuko na maji. Je, imesihi swalah yake?”
Akajibu:
“Yuko na maji. Nachelea kuwa swalah yake si sahihi.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
- Imechapishwa: 26/03/2021
188- Nilisoma mbele ya baba yangu:
“Mwanamme yuko na maji kwenye bendeji, akasahau, akafanya Tayammum na kuswali. Halafu baadaye akakumbuka kuwa yuko na maji. Je, imesihi swalah yake?”
Akajibu:
“Yuko na maji. Nachelea kuwa swalah yake si sahihi.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/143)
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/msafiri-amesahau-kuwa-yuko-na-maji/