658- Nilimuuliza Ahmad juu ya msafiri anayekula wakati wa mchana kisha akarudi nyumbani na kumkuta mke wake ndio punde amesafika kutoka katika ada yake ya mwezi; je, inafaa kwake akalala naye? Akajibu:
“Bora asifanye hivo. Lakini imepokelewa kwamba Jaabir bin Zayd alilala na mke wake katika hali kama hiyo.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 136
- Imechapishwa: 26/03/2021
658- Nilimuuliza Ahmad juu ya msafiri anayekula wakati wa mchana kisha akarudi nyumbani na kumkuta mke wake ndio punde amesafika kutoka katika ada yake ya mwezi; je, inafaa kwake akalala naye? Akajibu:
“Bora asifanye hivo. Lakini imepokelewa kwamba Jaabir bin Zayd alilala na mke wake katika hali kama hiyo.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 136
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/msafiri-aliyerudi-nyumbani/