Swali: Je, msafiri analazimika kuswali kwa mkusanyiko?
Jibu: Ndiyo, akipata swalah ya mkusanyiko basi inamlazimu.
Swali: Vipi ikiwa kwa mfano anakaa hotelini?
Jibu: Aswali pamoja na mkusanyiko, hapaswi kuswali peke yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuswali kwa mkusanyiko. Aidha kuiacha ni miongoni mwa sifa za wanafiki. Lakini kama wako watu wawili au zaidi, basi wanaruhusiwa kuswali na mkusanyiko Rak´ah nne kama ambavo wanaruhusiwa kuswali wao wenyewe kwa kufupisha Rak´ah nne.
Swali: Je, mtu akiswali peke yake atapata dhambi?
Jibu: Ndiyo, kwa sababu swalah ya mkusanyiko ni wajibu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28544/هل-تجب-الجماعة-في-الصلاة-على-المسافر
- Imechapishwa: 22/04/2025
Swali: Je, msafiri analazimika kuswali kwa mkusanyiko?
Jibu: Ndiyo, akipata swalah ya mkusanyiko basi inamlazimu.
Swali: Vipi ikiwa kwa mfano anakaa hotelini?
Jibu: Aswali pamoja na mkusanyiko, hapaswi kuswali peke yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuswali kwa mkusanyiko. Aidha kuiacha ni miongoni mwa sifa za wanafiki. Lakini kama wako watu wawili au zaidi, basi wanaruhusiwa kuswali na mkusanyiko Rak´ah nne kama ambavo wanaruhusiwa kuswali wao wenyewe kwa kufupisha Rak´ah nne.
Swali: Je, mtu akiswali peke yake atapata dhambi?
Jibu: Ndiyo, kwa sababu swalah ya mkusanyiko ni wajibu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28544/هل-تجب-الجماعة-في-الصلاة-على-المسافر
Imechapishwa: 22/04/2025
https://firqatunnajia.com/msafiri-aliye-pekee-anayeacha-kuswali-na-msikitini/