Swali: Kuna mwanamke ambaye ameachwa na mumewe na akaomba serikali ili aweze kupata msaada wa kipesa za kijamii. Baada ya muda ndani ya eda akarudi kwa mume wake na wakati huohuo akaendelea kupata msaada wa kipesa za kijamii. Je, zile pesa anazopewa inafaa?
Jibu: Hapana, haifai. Ni haramu. Hivi sasa anaishi na mume na mume anamuhudumia. Sababu ambayo alikuwa anapewa msaada kwayo imekatika.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
- Imechapishwa: 21/07/2018
Swali: Kuna mwanamke ambaye ameachwa na mumewe na akaomba serikali ili aweze kupata msaada wa kipesa za kijamii. Baada ya muda ndani ya eda akarudi kwa mume wake na wakati huohuo akaendelea kupata msaada wa kipesa za kijamii. Je, zile pesa anazopewa inafaa?
Jibu: Hapana, haifai. Ni haramu. Hivi sasa anaishi na mume na mume anamuhudumia. Sababu ambayo alikuwa anapewa msaada kwayo imekatika.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (92) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/%D8%A5%D8%BA%D8%A7%D8%AB%D8%A9%20%D8%A7%D9%84%D9%84%D9%87%D9%81%D8%A7%D9%86%20%D9%85%D9%86%20%D9%85%D8%B5%D8%A7%D8%A6%D8%AF%20%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%B7%D8%A7%D9%86-29-07-1439%D9%87%D9%80%200010.mp3
Imechapishwa: 21/07/2018
https://firqatunnajia.com/msaada-wa-kipesa-wa-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)