Swali: Je, ni lazima kwa mtu kutoa salamu akipita mbele ya makaburi?

Jibu: Ni bora kufanya hivyo, lakini si jambo la lazima. Ni Sunnah na jambo linalopendekezwa. Hivyo kama atasimama karibu na ukuta wa makaburi na kutoa salamu, basi hilo ni jambo jema.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28811/هل-يشرع-دعاء-زيارة-القبور-للمار-بها
  • Imechapishwa: 25/04/2025