Swali: Je, mwanafunzi alinganie katika yale aliyojifunza kwa elimu na yakini au ni lazima atumie kwanza miaka katika kusoma kisha baada ya hapo ndio alinganie katika dini ya Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Alinganie katika kitu ambacho amejifunza na kukijua. Kuhusiana na kitu ambacho hakujifunza na hakijui asikiingilie. Alinganie kwa kiasi cha elimu alionayo na asivuke hapo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
- Imechapishwa: 16/04/2018
Swali: Je, mwanafunzi alinganie katika yale aliyojifunza kwa elimu na yakini au ni lazima atumie kwanza miaka katika kusoma kisha baada ya hapo ndio alinganie katika dini ya Allaah (´Azza wa Jall)?
Jibu: Alinganie katika kitu ambacho amejifunza na kukijua. Kuhusiana na kitu ambacho hakujifunza na hakijui asikiingilie. Alinganie kwa kiasi cha elimu alionayo na asivuke hapo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
Imechapishwa: 16/04/2018
https://firqatunnajia.com/mpaka-wa-mwanafunzi/