Swali: Kuanza kulingania katika Tawhiyd kabla ya kitu kingine ni moja katika misingi ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah?
Jibu: Hapana shaka. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliikaa Makkah miaka kumi na tatu akilingania kwanza katika Tawhiyd. Da´wah inaanzwa na Tawhiyd na ´Aqiydah kabla ya kila kitu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 28/06/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)