Swali: Ni vipi tutaoanisha maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mlevi ni kama mwabudu sanamu.”[1]
na kile kinachotambulika ya kwamba unywaji pombe haumtoi mtu katika Uislamu?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakusema kuwa kunamtoa mtu katika Uislamu. Alichosema:
“… ni kama mwabudu sanamu.”
Bi maana anafungamana nayo kama ambavyo mwabudu sanamu anavyofungamana na sanamu.
[1] Dogo liwezalo kusemwa ni nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”an-Naswiyhah”, uk. 257
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2017
Swali: Ni vipi tutaoanisha maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mlevi ni kama mwabudu sanamu.”[1]
na kile kinachotambulika ya kwamba unywaji pombe haumtoi mtu katika Uislamu?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakusema kuwa kunamtoa mtu katika Uislamu. Alichosema:
“… ni kama mwabudu sanamu.”
Bi maana anafungamana nayo kama ambavyo mwabudu sanamu anavyofungamana na sanamu.
[1] Dogo liwezalo kusemwa ni nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”an-Naswiyhah”, uk. 257
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
Imechapishwa: 11/11/2017
https://firqatunnajia.com/mnywaji-pombe-ni-kama-mwabudu-sanamu/