Swali: Je, kampuni ambayo mtu mmoja anawekeza pesa yake na mwengine anajitolea kwa kusimamia kazi?
Jibu: Hiyo ndio hesabu. Mmoja anawekeza pesa na mwengine anasimamia kazi. Kisha baadaye wanagawanya faida kutokana na vile walivokubaliana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 19/02/2022
Swali: Je, kampuni ambayo mtu mmoja anawekeza pesa yake na mwengine anajitolea kwa kusimamia kazi?
Jibu: Hiyo ndio hesabu. Mmoja anawekeza pesa na mwengine anasimamia kazi. Kisha baadaye wanagawanya faida kutokana na vile walivokubaliana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 19/02/2022
https://firqatunnajia.com/mmoja-anawekeza-mwengine-anafanya-kazi/