Swali: Nina deni kubwa linalokaribia 200.000 nami ni mlezi wa ndugu yangu mdogo ambaye ana mali ninayotoa zakaah yake. Je, inajuzu kwangu kuchukua kutoka katika zakaah hiyo?
Jibu: Mlezi hachukui zakaah, bali huwapa mafakiri na wala hachukui kwa ajili ya nafsi yake; kwa kuwa yeye ni mwenye jukumu na anatuhumiwa. Hivyo mlezi wa mayatima hutoa zakaah yao kwa wengine, si kujipa mwenyewe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30091/هل-يجوز-للوكيل-المحتاج-الاخذ-من-زكاة-موكله
- Imechapishwa: 07/09/2025
Swali: Nina deni kubwa linalokaribia 200.000 nami ni mlezi wa ndugu yangu mdogo ambaye ana mali ninayotoa zakaah yake. Je, inajuzu kwangu kuchukua kutoka katika zakaah hiyo?
Jibu: Mlezi hachukui zakaah, bali huwapa mafakiri na wala hachukui kwa ajili ya nafsi yake; kwa kuwa yeye ni mwenye jukumu na anatuhumiwa. Hivyo mlezi wa mayatima hutoa zakaah yao kwa wengine, si kujipa mwenyewe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30091/هل-يجوز-للوكيل-المحتاج-الاخذ-من-زكاة-موكله
Imechapishwa: 07/09/2025
https://firqatunnajia.com/mlezi-wa-mayatima-kujipa-zakaah-kutoka-katika-mali-yao/