Swali: Inajuzu kwangu kuchukua mkopo wa ribaa ili ninunue nyumba ikiwa siwezi kukopa pesa kwa njia iliyowekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hapana. Kodisha. Kodisha mpaka pale utapokuwa na uwezo wa kununua nyumba. Nyumba za kupanga zinatatua matatizo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 23/07/2017
Swali: Inajuzu kwangu kuchukua mkopo wa ribaa ili ninunue nyumba ikiwa siwezi kukopa pesa kwa njia iliyowekwa katika Shari´ah?
Jibu: Hapana. Kodisha. Kodisha mpaka pale utapokuwa na uwezo wa kununua nyumba. Nyumba za kupanga zinatatua matatizo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 23/07/2017
https://firqatunnajia.com/mkopo-wa-ribaa-kwa-ajili-ya-kununua-nyumba/