Swali 80: Je, mtu anaweza kusema kuwa mkono mwingine wa Allaah ni wa kushoto?

Jibu: Imethibiti katika Hadiyth Swahiyh:

”Lakini ni mkono wa kuume wenye baraka.”

Kwa ajili hiyo akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

”Mikono Yake yote ni ya kuume.”

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 49
  • Imechapishwa: 16/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´