Swali: Inajuzu kwa mwanamke aliyeolewa punde tu kutumia dawa ya kuzuia mimba bila mume wake kujua na hilo ni kwa sababu ya kuogopa kwake kutoafikiana kati yake yeye na mume wake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Huku ni kumhadaa mume wake. Hili halijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Inajuzu kwa mwanamke aliyeolewa punde tu kutumia dawa ya kuzuia mimba bila mume wake kujua na hilo ni kwa sababu ya kuogopa kwake kutoafikiana kati yake yeye na mume wake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Huku ni kumhadaa mume wake. Hili halijuzu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/mke-kutumia-dawa-ya-kuzuia-mimba-mwanzoni-mwa-ndoa/