Swali: Mume akimuwekea sharti mke ya kuvaa Hijaab ya Kishari´ah na matokeo yake mwanamke akawa amekataa pamoja na hivyo akamnasihi lakini akakataa na jengine ni kwamba hahifadhi swalah – ana haki ya kumtaliki?
Jibu: Ni yeye ndiye mwenye kusimamia talaka kwa hali yoyote ile. Hahitajii kushurutisha chochote. Ikiwa hatengemai amtaliki. Ikiwa haswali, ikiwa havai Hijaab basi amtaliki kwa kuwa anamuasi Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Mume akimuwekea sharti mke ya kuvaa Hijaab ya Kishari´ah na matokeo yake mwanamke akawa amekataa pamoja na hivyo akamnasihi lakini akakataa na jengine ni kwamba hahifadhi swalah – ana haki ya kumtaliki?
Jibu: Ni yeye ndiye mwenye kusimamia talaka kwa hali yoyote ile. Hahitajii kushurutisha chochote. Ikiwa hatengemai amtaliki. Ikiwa haswali, ikiwa havai Hijaab basi amtaliki kwa kuwa anamuasi Allaah (´Azza wa Jall).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-12-07-1435-01_0.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/mke-hataki-kuvaa-hijaab/