Swali: Kucheza rekodi ya Suurah “al-Baqarah” nyumbani kunaweza kuchukua nafasi badala ya kisomo?
Jibu: Hapana, kisomo ni ´ibaadah. Mkanda hauswali na wala haufungi. Mkanda ni kifaa tu. Kisomo ni ´ibaadah ambacho ni lazima kifanywe na muislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (55) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16503
- Imechapishwa: 23/09/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)