Swali: Imetangulia ya kwamba mwanamke aliyefiwa na mume wake hana haki ya makazi, pamoja na kwamba ameamrishwa kukaa eda katika nyumba ya mume wake. Je, hiyo ina maana kuwa akikaa eda nyumbani kwa mume yeye ndiye atatakiwa kulipa kodi ya nyumba?
Jibu: Ndio. Atalipa kutoka katika mirathi yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 12/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)