Swali: Je, lugha ya Ibraahiym (´alayhis-Salaam) aliokuwa akizungumza ni lugha ya kiarabu?
Jibu: Sidhanii hivo. Sio lugha ya kiarabu. Wengi katika Mitume waliotangulia sio waarabu. Isipokuwa wale ambao walikuwa katika kiziwa cha kiarabu, kama mfano wa Shu´ayb, Swaalih, Nuuh na Luutw. Hawa walikuwa ni waarabu. Wengine walikuwa wanazungumza lugha isiyokuwa ya kiarabu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (47) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-04-08.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)