Swali: Unasemaje juu ya kuharakisha kutoa zakaah kwa wanyonge walioko Chechenia?
Jibu: Sioni ubaya kufanya hivo. Naona kuwa Chechenia hivi sasa wanahitajia zakaah; wapambanaji katika njia ya Allaah na wakimbizi katika mafukara na masikini. Nawahimiza ndugu zangu kuwasaidia. Ni mamoja ikiwa ni zakaah au swadaqah.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1605
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)