Swali: Je, kutumia Siwaak kunamsaidia mtu kutamka shahaadah wakati wa kukata roho?
Jibu: Ndio, wanachuoni wamesema kwamba miongoni mwa faida zake ni kwamba unamsaidia mtu kutamka shaadah wakati wa kufa. Hili limethibiti.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 07/12/2018
Swali: Je, kutumia Siwaak kunamsaidia mtu kutamka shahaadah wakati wa kukata roho?
Jibu: Ndio, wanachuoni wamesema kwamba miongoni mwa faida zake ni kwamba unamsaidia mtu kutamka shaadah wakati wa kufa. Hili limethibiti.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
Imechapishwa: 07/12/2018
https://firqatunnajia.com/miongoni-mwa-faida-kubwa-za-siwaak/