Swali: Kaka yangu anamiliki mgahawa katika nchi ya kikafiri. Anauliza kama inafaa kwake kufungua mgahawa mchana wa Ramadhaan au hapana. Ndani ya nchi kuna waislamu.
Jibu: Hapana, asifungue mchana wa Ramadhaan. Ni muonekano wenye kwenda kinyume na mfumo wa Uislamu. Haifai kula wala kunywa mchana. Aheshimu mwezi na wala asifungue hata kama atakuwa katika nchi ya kikafiri. Yeye ni muislamu na anauwakilisha Uislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Kaka yangu anamiliki mgahawa katika nchi ya kikafiri. Anauliza kama inafaa kwake kufungua mgahawa mchana wa Ramadhaan au hapana. Ndani ya nchi kuna waislamu.
Jibu: Hapana, asifungue mchana wa Ramadhaan. Ni muonekano wenye kwenda kinyume na mfumo wa Uislamu. Haifai kula wala kunywa mchana. Aheshimu mwezi na wala asifungue hata kama atakuwa katika nchi ya kikafiri. Yeye ni muislamu na anauwakilisha Uislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-qrran-19-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/migahawa-inatakiwa-kufungwa-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)