Swali: Ni umri upi muafaka wa kumpeleka mtoto msikitini ili azowee swalah?
Jibu: Pale anapokuwa ni mwenye uwezo wa kupambanua. Anapokuwa ni mwenye uwezo wa kupambanua na chinichini inakuwa miaka saba:
“Waamrisheni watoto wenu swalah wanapokuwa na miaka saba na wapigeni kwayo wanapokuwa na miaka kumi.”
Ama mtoto akiwa chini ya miaka saba na mzazi akampeleka kwa ajili ya kumlinda, hakuna neno ilimradi mtoto asiwasumbue wengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Ni umri upi muafaka wa kumpeleka mtoto msikitini ili azowee swalah?
Jibu: Pale anapokuwa ni mwenye uwezo wa kupambanua. Anapokuwa ni mwenye uwezo wa kupambanua na chinichini inakuwa miaka saba:
“Waamrisheni watoto wenu swalah wanapokuwa na miaka saba na wapigeni kwayo wanapokuwa na miaka kumi.”
Ama mtoto akiwa chini ya miaka saba na mzazi akampeleka kwa ajili ya kumlinda, hakuna neno ilimradi mtoto asiwasumbue wengine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/miaka-ya-kumpeleka-mtoto-msikitini/