Swali: Kuna mtu katika ujana wake alicheza na swalah na swawm karibu miaka kumi. Je, alipe yaliyompita na kutubu?
Jibu: Atubu na kuwa na msimamo huko mbele.
Kuhusu yaliyompita, hakuwa muislamu. Mwenye kuacha swalah kwa kukusudia sio muislamu. Akitubu kwa Allaah anakuwa ameingia katika Uislamu upya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 08/06/2020
Swali: Kuna mtu katika ujana wake alicheza na swalah na swawm karibu miaka kumi. Je, alipe yaliyompita na kutubu?
Jibu: Atubu na kuwa na msimamo huko mbele.
Kuhusu yaliyompita, hakuwa muislamu. Mwenye kuacha swalah kwa kukusudia sio muislamu. Akitubu kwa Allaah anakuwa ameingia katika Uislamu upya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
Imechapishwa: 08/06/2020
https://firqatunnajia.com/miaka-kumi-mtu-amecheza-na-swalah-na-swawm/