Swali: Je, ni lazima kuosha mguu wa kuliani kwa mkono wa kuliani na mguu wa kushotoni mwa mkono wa kushotoni?
Jibu: Hakuna dalili kutoka katika Sunnah. Ni maoni tu [ya baadhi ya wanazuoni].
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 118
- Imechapishwa: 01/07/2022
Swali: Je, ni lazima kuosha mguu wa kuliani kwa mkono wa kuliani na mguu wa kushotoni mwa mkono wa kushotoni?
Jibu: Hakuna dalili kutoka katika Sunnah. Ni maoni tu [ya baadhi ya wanazuoni].
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 118
Imechapishwa: 01/07/2022
https://firqatunnajia.com/mguu-wa-kulia-kwa-mkono-wa-kulia-na-wa-kushoto-kwa-mkono-wa-kushoto/