Swali: Ramadhaan iliyopita tarehe 21 baba yangu hakufunga kwa sababu ya maradhi na akafariki hospitalini tarehe 9 Shawwaal. Ni ipi hukumu?
Jibu: Ikiwa alikuwa na maradhi yasiyotarajiwa kupona basi alitakiwa kulisha kwa kila siku moja masikini. Ikiwa ni maradhi yanayotarajiwa kupona lakini baada ya kutoka Ramadhaan maradhi yakamfisha – kama lilivyo wazi swali lako – hakuna kinachomlazimu. Kwa sababu kilichokuwa cha wajibu kwake ilikuwa ni kulipa lakini hata hivyo hakuweza.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/122)
- Imechapishwa: 09/06/2017
Swali: Ramadhaan iliyopita tarehe 21 baba yangu hakufunga kwa sababu ya maradhi na akafariki hospitalini tarehe 9 Shawwaal. Ni ipi hukumu?
Jibu: Ikiwa alikuwa na maradhi yasiyotarajiwa kupona basi alitakiwa kulisha kwa kila siku moja masikini. Ikiwa ni maradhi yanayotarajiwa kupona lakini baada ya kutoka Ramadhaan maradhi yakamfisha – kama lilivyo wazi swali lako – hakuna kinachomlazimu. Kwa sababu kilichokuwa cha wajibu kwake ilikuwa ni kulipa lakini hata hivyo hakuweza.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (19/122)
Imechapishwa: 09/06/2017
https://firqatunnajia.com/mgonjwa-aliyefariki-baada-ya-ramadhaan-akiwa-na-deni/