Swali: Kuna mtu amejichua sehemu za siri mchana wa Ramadhaan bila ya kufanya jimaa. Je, atoe kafara?
Jibu: Anachotakiwa ni yeye kulipa na kutubia kwa Allaah. Kuhusu kafara ni kwa yule aliyefanya jimaa ukeni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
- Imechapishwa: 29/11/2019
Swali: Kuna mtu amejichua sehemu za siri mchana wa Ramadhaan bila ya kufanya jimaa. Je, atoe kafara?
Jibu: Anachotakiwa ni yeye kulipa na kutubia kwa Allaah. Kuhusu kafara ni kwa yule aliyefanya jimaa ukeni.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (18) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-15011435-01.mp3
Imechapishwa: 29/11/2019
https://firqatunnajia.com/mfungaji-amefanya-punyeto-akatokwa-na-manii/