Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia mfanyakazi mwanamke katika nchi ya kiislamu pasi na Mahram kutokana na haja ya kidharurah?
Jibu: Ni lazima kwa wanawake wote wasisafiri isipokuwa kwa kuwa pamoja na Mahram. Ni mamoja mfanyakazi mwanamke au mwengine. Kila mwanamke ni lazima awe na Mahram yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mwanamke asisafiri isipokuwa pamoja na Mahram.”
Hilo ndilo la wajibu kwa wote. Ni lazima kwa familia yake kumtafutia Mahram.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21523/حكم-استقدام-خادمة-مسلمة-بدون-محرم-لحاجة
- Imechapishwa: 21/08/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)