Swali: Inajuzu kwa mwenye kufanya matabano kuzungumza na jini na akamuuliza jina lake, nani kamtuma na ni wapi upo uchawi?
Jibu: Amsomee tu. Asianze kuzungumza naye na mfano wa hayo. Anatakiwa kumsomea Qur-aan, Sunnah na du´aa zenye kuruhusiwa. Asimuulize.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (64) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/28-07-1438h-fathou.mp3
- Imechapishwa: 29/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)