Swali: Ninafanya kazi kama mchungaji kwenye gereza. Mara moja kwa mwezi ninalazimika kufanya kazi wakati wa swalah ya Ijumaa. Nifanye nini?
Jibu: Sio wajibu kwake kuswali swalah ya Ijumaa. Mchungaji aswali Dhuhr sehemu yake. Ni mwenye kupewa udhuru.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 03/06/2018
Swali: Ninafanya kazi kama mchungaji kwenye gereza. Mara moja kwa mwezi ninalazimika kufanya kazi wakati wa swalah ya Ijumaa. Nifanye nini?
Jibu: Sio wajibu kwake kuswali swalah ya Ijumaa. Mchungaji aswali Dhuhr sehemu yake. Ni mwenye kupewa udhuru.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 03/06/2018
https://firqatunnajia.com/mchungaji-anapitwa-na-swalah-ya-ijumaa/