Miongoni mwa mambo ya haramu ni wanaume kuchanganyika na wanawake katika sherehe hizi za harusi. Sivyo tu, bali vijana wanachanganyika na wasichana na huenda mbali na mchanganyiko kukatokea kucheza – simaanishi katika nchi yetu hii, nasikia kuwa katika mnasaba huu kuna mchanganyiko kati ya wanaume na wanawake na wanacheza katika nchi zingine – huku ni kuikufuru neema [ya ndoa].
Lililo la wajibu kwetu ni kuwaweka mbali wanaume na wanawake. Hawa tuwaweke sehemu yao na hawa wengine sehemu yao.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (11)
- Imechapishwa: 03/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket