Swali: Je, inafaa kwa mayahudi na manaswara kudhihirisha makanisa yao katika nchi za waislamu?
Jibu: Hapana, wanazuiwa; isipokuwa kama nchi ilifunguliwa na tayari yalikuwepo makanisa na kisha mtawala wa waislamu akawakubalia waendelee nayo. Wanakubaliwa kubaki na makanisa yao waliyonayo.
Swali: Je, wanaruhusiwa kujenga makanisa mapya kutoka mwanzoni?
Jibu: Hapana, hawaruhusiwi kujenga makanisa mapya kutoka mwanzoni.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25417هل-لليهود-والنصارى-بناء-الكناىس-في-بلاد-الاسلام
- Imechapishwa: 23/03/2025
Swali: Je, inafaa kwa mayahudi na manaswara kudhihirisha makanisa yao katika nchi za waislamu?
Jibu: Hapana, wanazuiwa; isipokuwa kama nchi ilifunguliwa na tayari yalikuwepo makanisa na kisha mtawala wa waislamu akawakubalia waendelee nayo. Wanakubaliwa kubaki na makanisa yao waliyonayo.
Swali: Je, wanaruhusiwa kujenga makanisa mapya kutoka mwanzoni?
Jibu: Hapana, hawaruhusiwi kujenga makanisa mapya kutoka mwanzoni.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25417هل-لليهود-والنصارى-بناء-الكناىس-في-بلاد-الاسلام
Imechapishwa: 23/03/2025
https://firqatunnajia.com/mayahudi-na-manaswara-kujenga-makanisa-katika-miji-ya-waislamu/