Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa mavazi mazoezi ambayo yanakuwa na majina ya wachezaji ambao ni makafiri au yanakuwa na alama kama za misalaba na mfano wa hayo?
Jibu: Yote haya hayajuzu. Lakini ikiwa yana alama za kikafiri, hili ni baya zaidi. Kadhalika majina ya makafiri na kuwaadhimisha makafiri, yote haya hayajuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (31) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-10.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)