Kitu kidogo ambacho mtu anamlisha mke wake analipwa thawabu kwacho akikusudia uso wa Allaah. Pamoja na kwamba mtu kuhudumia mke ni jambo la wajibu. Ikiwa humuhudumii utaambiwa ufanye hivo au mtaliki. Hata hivyo ukimhudumia mke wako kwa kukusudia uso wa Allaah, basi Allaah atakulipa ujira kwa hilo.
Kadhalika ukiwahudumia watoto wako, mama yako, baba yako, bali hata ukijihudumia wewe mwenyewe kwa kukusudia uso wa Allaah, basi Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) atakulipa thawabu kwa jambo hili.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/45)
- Imechapishwa: 23/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)