Watu wa Peponi watamuona Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Watautazama uso wa Allaah kwa macho yao kama wanavouona mwezi mwandamo bila ya kuwepo mawingu na kama wanavouona mwezi katika usiku wa mwezi mwandamo. Kwa msemo mwingine watamuona kikweli.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/45)
- Imechapishwa: 23/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)